Mkuu wa Polisi Nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na wanachi wa Mererani Mkoani Manyara leo baada Rais Dk. John Magufuli kufungua barabara ya kiwango cha lami cha kilometa 26 iliyoanzia KIA kuelekea mererani Mkoani humo.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Naibu Kamishna wa Polisi DCP Charles Mkumbo (kulia) na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro Kamishna Msaidizi ACP Hamisi Seleman Issah katika uwanja wa Ndege KIA wakati wanamsubiri Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli akitokea jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi mikoa ya Arusha na Manyara. PICHA KWA HISANI YA JESHI LA POLISI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...