Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akipokea taarifa ya utendaji kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo alipofanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Pwani kwa lengo la kuangalia namna zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma lilivyofanyika.
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akitoa maelekezo wakati wa ziara yake ya kikazi aliyoifanya katika Mkoa wa Pwani kwa lengo la kuangalia namna zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma lilivyofanyika.
 Baadhi ya watendaji wa Sekretarieti ya Mkoa wa Pwani wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) alipofanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Pwani kwa lengo la kuangalia namna zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma lilivyofanyika.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...