Jeneza lenye mwili wa video queen nchini na muigizaji wa filamu Agnes Gerald maarufu kama Agnes Masogange, likiwekwa sawa tayari kwa zoezi la kuaga mwili huo, katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es salaam hivi sasa. Mwili wa Masogange unatarajiwa kuzikwa kesho huko kijijini kwao, Utengule, jijini Mbeya.
Sehemu ya Wasanii wa filamu na Muziki nchini, wakiwa wamejumuika pamoja katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar kuomboleza msiba wa video queen nchini na muigizaji wa filamu Agnes Gerald maarufu kama Agnes Masogange.
Sehemu ya waombolezaji wengine.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...