Na Eleuteri Mangi, Arusha
TIMU ya Viongozi wa vilabu vinavyoshiriki michuano ya Mei Mosi Taifa 2024 ambao ni mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga wametoa burudani kwa wakazi wa jiji la arusha katika mchezo wa mpira wa miguu na netiboli kuthibitisha umwamba wa vilabu vyao wanavyoshabikia hapa nchini.

Akizungumzia michezo hiyo iliyofanyika Aprili 26, 2024 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, Katibu wa Kamati ya Michezo ya Mei Mosi Taifa Bw. Alex Temba amesema kuwa wanamichezo hao ambao ni viongozi mashabiki wa timu ya Simba katika mpira wa miguu wameibuka kidedea kwa kuwafunga viongozi mashabiki wa Yanga kwa magoli 2 - 0 wakati kwa upande wa netibili viongozi wa timu ya Yanga wameibuka kidedea.

“Kwa kweli mechi ilikuwa nzuri imefurahisha, unaona mashabiki na wananchi wa jiji la Arusha walivyojitokeza kwa wingi, hizi timu zetu mbili zina mkusanyiko mkubwa sana wa watu. Tunawakaribisha wananchi wa Arusha waje kupata burudani ya michezo mbalimbali na kuwaona wanamichezo wa Rais Mama Samia wanavyojikinga na magonjwa na maradi yasiyoambukizwa kwa njia ya michezo” Bw. Temba.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa mashabiki wa Simba na Katibu wa Mawasiliano Sports Klab Bw. Aliko Mwaiteleke amesema wanaamini timu yao ya Simba bado ni imara na mengine ni ya kupita.

“Sisi tumejiandaa kama Simba, ndiyo maana unaona tumejiandaa kama Simba na tumeshinda goli 2 – 0, watu wetu bado wana moyo sana na Simba sports Klab, angalia jezi zetu, ni lazima tuoneshe thamani ya timu yetu ndiyo maana tunasema Simba Nguvu Moja” Bw. Aliko.

Naye Mratibu wa mashabiki wa Yanga na Katibu wa Timu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Kamna Shomary amesema viongozi wameamua na kupanga siku moja ya wao kucheza bonanza ambalo wamelitumia kama njia ya kufahamiana na kuimarisha udugu.

Kwa upande wa netiboli, viongozi mashabiki wa timu ya Sim ana Yanga na wakiongozwa na Jacqueline Sikozi shabiki wa timu ya Simba na Nyabuchwenza Metusela, Mwenyekiti wa timu ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wamewasisitiza wachezaji na watumishi wa umma kuendelea kufanya mazoezi kwa kuwa michezo ni furaha, tiba, udugu n ani namna ya kuimarisha afya zao ili wanaporudi kazini wakafanye kazi kwa tija zaidi.

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewaasa Washereheshaji kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha na kuibua misamiati mipya ambayo inaweza kichakatwa na kuwa rasmi katika kukuza lugha hiyo.

Mhe. Ndumbaro ametoa rai hiyo tarehe 26, 2024 mjini Songea wakati akifungua mafunzo kwa washereheshaji, wasanii, wapambaji, wazalishaji wa kazi za sanaa ambayo yameendeshwa na Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA).

"Ushereheshaji ni biashara na ajira, ni wakati sasa wa kurasimisha kazi zenu ili mtambulike rasmi, tasnia ya ushereheshaji inatumika katika kukuza lugha kupitia misamiati mnayotumia ili muendelee kufanya vizuri katika tasnia hii", amesema Mhe. Ndumbaro.

Amewataka washereheshaji hao kurasimisha biashara zao katika taasisi za Serikali ikiwemo BRELA, kuhakikisha wanapata leseni ya biashara ili waweze kuingiza kwenye soko la ushindani, ambapo pia amewataka kuwa wabunifu katika kazi hiyo.

Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa BAKITA, Bi. Consolatha Mushi amesema mafunzo hayo yana lengo la kufikisha ujumbe kwa wadau mbalimbali wanaotumia lugha ya Kiswahili katika kazi zao kuwa na uelewa wa maneno sahihi ya kutumia kulingana na hadhira na aina ya tukio wanalofanyia kazi pamoja na kukuza lugha ya kiswahili.
Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Namibia Mhe. Nangolo Mbumba ambaye yuko Nchini Tanzania kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan jana 25.04.2024 alitembelea Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd ambao ni waagizaji na wasambazaji halali wa Bia za Windhoek nchini Tanzania.

Akiwa Ofisi za Mabibo Mhe. Mbumba
alimshukuru Mama Benedicta Rugemalira (mmiliki wa kampuni hiyo) kwakua na mahusiano mazuri na Namibia Breweries Ltd (NBL). Pia Mh. amewataka watanzania kuchangamkia fursa zilizoko nchini mwake.

Naye mmiliki wa Kampuni ya Mabibo amemhakikishia Mh. Rais kuwa ataendelea kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Mabibo na NBL ambao umedumu kwa miaka 18 sasa. Pia kuendelea kutafuta wawekezaji wengine kuja kuwekeza Tanzania.
Picha mbalimbali za Rais  wa Namibia The.Nangolo Mbumba akiwa na Timu ya Ofisi ya Kampuni ya Mabibo.
Rais wa Namibia Mhe. Nangolo Mbumba akiwa anatembelea ofisi za Mabibo ambaye yuko mwaliko wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan jijini Dar es Salaam.


Picha mbalimbali za Rais  wa Namibia The.Nangolo Mbumba akiwa na Timu ya Ofisi ya Kampuni ya Mabibo.

60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and Strengthened for the Development of Our Nation.


1. Introduction.

The United Republic of Tanzania was established through the unification of Tanganyika and Zanzibar on April 26, 1964. It stands as a unified entity with a singular identity across Mainland Tanzania and Zanzibar, as well as the surrounding water bodies. Tanzania serves as the representative of its people, projecting a united front to the international community. With our diverse cultural heritage and rich history, Tanzania is a symbol of unity and strength, demonstrating the harmony that can arise from acknowledging and respecting differences.

From the bustling streets of Dar es Salaam to the serene beaches of Zanzibar, we, the people of Tanzania, are bound by a common purpose, to forge a prosperous future for ourselves and our nation. This shared vision is deeply rooted in the history and traditions of our country, where the concept of 'ujamaa', accentuates the importance of communal values and collective progress.

In this great future, you can't forget your past, Bob Marley wisely noted, a thought that strikes a chord as Tanzania commemorates its 60th Union Anniversary, marking six decades since the union between Tanganyika and Zanzibar, forming the United Republic of Tanzania. This milestone is not just a celebration of the present moment but also a reflection on the journey that has brought the country here. It is a tribute to the resilience, perseverance, and unity of the Tanzanian people, who have overcome challenges to build a nation that stands as an inspiration and symbol of progress in Africa and beyond.

As Tanzania looks ahead to the future, it must remember the lessons of its past, honoring its history while forging a path toward continued unity, development, prosperity, and harmony that define Tanzania, ensuring that future generations inherit a nation built on the values of peace, solidarity, and progress.

2. Tanganyika's Road to Independence.

Tanganyika's journey to independence was marked by a challenging struggle against colonial rule. The exploitative practices of European powers, particularly under German and British colonization, sparked fierce resistance among the Tanganyikan people. The colonial rule brought new challenges, as the region grappled with the complexities of governance under foreign administration. Despite facing suppression and oppression, Tanganyika's resolve for self-determination remained unbroken. The eventual declaration of independence in 1961 and the establishment of the Republic of Tanganyika in 1962 underlined the triumph of the people's will and marked the beginning of a new era of sovereignty and self-governance.

2.1. German Exploitation.

Prior to German rule, Tanganyika's history was marked by diverse indigenous cultures and societies, with trade routes connecting the interior to coastal communities. European explorers, driven by the desire for colonial expansion and economic gain, began to penetrate the region in the 19th century. These early interactions were often marred by violence and exploitation, as explorers sought to establish dominance and control over the local populations. The arrival of German colonizers in the late 19th century further intensified these dynamics, leading to widespread displacement and marginalization of indigenous peoples.

During this tumultuous period, the Berlin Conference of 1884 formalized the exploitation of African territories, including Tanganyika, leading to the arbitrary division of Africa among European powers. Tanganyika, under Deutsch Ost-Afrika, was one such territory governed by Germany from 1884 to 1918. However, German rule faced strong opposition, reflecting Tanganyika's resistance to exploitation, oppressive rule, and foreign control as the people sought to preserve their autonomy and cultural identity. Despite these challenges, Tanganyika's diverse communities continued to resist foreign incursions.

2.2. British Colonial Rule.

German rule in East Africa came to an end with Germany's defeat in World War I. The conflict began with clashes between British and German forces along the northern frontier of the German colony, but the decisive assault began in 1916. Led by General Jan Smuts, a British force defeated the Germans near Kilimanjaro and occupied the northern part of German East Africa in March 1916, establishing a provisional administration. Meanwhile, General Paul Emil Von Lettow-Vorbeck and his forces were confined to the southern part of German East Africa. By November 1917, the German army had been driven into Portuguese territory, completing the occupation of Tanganyika. General Von Lettow-Vorbeck, known as the "Lion of Tanganyika" by his native soldiers, formally surrendered on November 13, 1918, marking the loss of German East Africa to the British.

Under the Peace Treaty with Germany signed at Versailles in June 28, 1919, Germany renounced all rights over her overseas possessions, including German East Africa, in favor of the principal Allied and Associated Powers. Article 22 of the League of Nations Covenant, a part of the treaty, mandated these territories to be governed by mandatories on behalf of the League. Britain was designated to administer German East Africa, except for Ruanda and Urundi, which were entrusted to Belgium. The League of Nations mandate placed Tanganyika under British administration and Ruanda-Urundi under Belgian rule, with the Kionga Triangle under Portuguese authority. These territories were to be governed until they were deemed ready for self-governance, though the process lacked clear criteria for achieving self-rule, leading to prolonged colonial governance.

Tanganyika Territory, under British administration, continued to be governed under the terms of the mandate of League of Nations until 1946. At that time, it was placed under the trusteeship system of the United Nations, marking a new phase in its governance and paving the way for eventual self-rule.

2.3. The First Election.

The First Election of Tanganyika in 1958 marked a significant turning point in the country's political history, as it was the first planned national election involving multiple political parties. However, the colonial government, under Governor Edward Twining, imposed difficult conditions aimed at suppressing African participation. These conditions, including income and education requirements, were designed to limit African representation, as the colonial government feared a landslide victory for the Tanganyika African National Union (TANU), led by Julius Nyerere. Despite these challenges, TANU emerged victorious in both phases of the election, demonstrating the people's overwhelming desire for independence.

The second phase of the election, held under Governor Richard Turnbull in 1959, further solidified TANU's popularity and support among the people. TANU won all 15 contested seats, indicating its widespread acceptance and influence. The 1960 election reaffirmed TANU's dominance, with the party winning 70 out of 71 contested seats, including one seat won by a TANU member running as an independent candidate. The significant increase in registered voters from the previous election reflected the growing enthusiasm for independence and the relaxation of voting requirements.

2.4. Republic Established.

Following TANU's victories, Tanganyika made significant progress towards self-governance and independence. Mwalimu Julius Nyerere became the Chief Minister on September 2, 1960, and formed the Government the next day. Tanganyika was granted internal autonomy on May 1, 1961, with Nyerere as the Prime Minister. The country gained independence on December 9, 1961, becoming the 104th member of the United Nations. Despite these achievements, TANU was not satisfied with the Queen of England as the Head of State, leading to the declaration of Tanganyika as a Republic within the Commonwealth.

The Republic of Tanganyika was officially established on December 9, 1962, with Mwalimu Julius Nyerere sworn in as the Executive President, Head of State, Government Leader, and Commander-in-Chief. Nyerere's presidency marked a new era for Tanganyika, as the country began a journey of self-determination and sovereignty, guided by the principles of freedom, democracy, and unity.

3. Zanzibar's Road to Independence.

The history of Zanzibar is a tale of strategic maneuvers and shifting colonial powers. Sultan Said bin Sultan Al-Said of Oman's assertive annexation of Zanzibar, Pemba, Mafia, and the East African coastal strip marked a significant turn, relocating his capital from Muscat to Zanzibar. This move transformed Zanzibar into a crucial hub under Omani control. However, the Berlin Conference ushered in a new era, with Britain and Germany negotiating over territorial claims. The outcome, the 1886 Treaty, recognized the Sultan's authority over Zanzibar, Pemba, and the coastal strip, solidifying his position amid the colonial powers' interests. The subsequent delineation of boundaries marked the separation of British and German spheres of influence in East Africa, leaving the Sultanate with a strategically important coastal area.

3.1. British Influence.

The colonial powers' interactions in Africa continued, leading to the 1890 Treaty, which further shaped the region's geopolitics. Britain and Germany reached agreements that saw Germany cede territories to Britain and reaffirm the Sultan's authority over Zanzibar. This agreement also aimed to resolve disputes over territories such as Mafia Island and areas in Tanganyika. For the Sultan, British protection provided a sense of security against perceived German threats, indicating the complex dynamics of colonial politics in East Africa. Zanzibar's strategic importance, both as a trade center and a focal point of anti-slavery efforts, further reiterated its significance in the broader colonial context.

The story of Zanzibar's struggle for true independence is one of complexity and historical significance. In 1963, the Constitution of Zanzibar seemingly granted the Sultan supreme leadership, continuing a legacy that predated colonial rule. This system, however, was a British construct, reinforcing their strategic interests rather than acknowledging Zanzibar's unique identity and its fundamental quest for true independence. The British aimed to protect the Sultan from external threats and quell rising African independence movements, which posed a challenge to the Sultan's rule. By not inviting the Sultan to the Berlin Conference and manipulating succession disputes, Britain reinforced its dominance, denying Zanzibar's true autonomy.

3.2. The Revolution.

While Zanzibar had seemingly achieved independence on December 10, 1963, with the Sultan assuming supreme leadership, a move that was viewed as a step towards autonomy, the true essence of independence was yet to be realized. This legacy, which predates colonial rule, set the stage for the emergence of the Afro-Shirazi Party (ASP) as a significant player during geopolitical maneuvers. Under the leadership of Abeid Amani Karume, the ASP advocated for a republican Zanzibar, diverging sharply from British and Arab interests. The ASP clandestinely organized the Revolution, seizing key police stations and buildings on January 12, 1964. Despite facing resistance, including from British Police Commissioner Jack Sullivan, the revolutionaries emerged victorious, prompting Sultan Jamshid bin Abdullah to flee. The ASP's success led to the establishment of the Government of the Revolution of Zanzibar, marking a profound shift in the island's history.

The Revolution was more than just a political upheaval; it was a reflection of the resilience and determination of Zanzibar's people. The revolutionaries' courage and meticulous planning, shown in their capture of crucial institutions, made clear their commitment to freedom and self-determination. The Revolution marked a significant moment after years of struggle against colonial and oppressive systems, laying the groundwork for a new era of governance based on the aspirations of the Zanzibari people. It represented a transformative moment that shattered the illusion of artificial freedom and laid the foundation for a more inclusive and democratic Zanzibar.

3.3. Revolutionary Legacy.

The legacy of the Zanzibar Revolution lives on, reminding us of the quest for genuine liberation. It demonstrates the power of unity and the resilience of the human spirit in the face of oppression. The Revolution's impact spread far beyond Zanzibar, inspiring similar movements across Africa. It stands as a symbol of hope, showing us that true freedom is not granted but earned through sacrifice, determination, and a strong dedication to justice and equality.

4. Initiatives and Efforts Toward Unity.

The founders of the Union, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere and Abeid Amani Karume, played a crucial role in the formation of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, now known as Tanzania. In light of the political climate at the time, the leaders conducted secret negotiations on both sides of the Union to avoid interference from enemies of the Union.

On April 22, 1964, Nyerere and Karume, representing the people of Tanganyika and Zanzibar, signed the Union Agreement at the State House in Zanzibar, symbolizing their commitment to unity and cooperation. Nyerere's delegation included Oscar Kambona, Job Lusinde, Roland Brown, P.R.N Fifoot, and Bhoke Munanka, while Karume was accompanied by Abdulla Kassim Hanga, Abdulazizi Twala, and Ali Mwinyigogo. This historic agreement marked a significant milestone in the two nations' journey towards unity and integration, laying the groundwork for a brighter future for the people of Tanzania.

4.1. Ratification and Legal Processes.

On April 25, 1964, a historic moment took place as the Union Agreement between Tanganyika and Zanzibar was ratified by their respective Legislative Authorities. In Zanzibar, the Revolutionary Council convened at the State House, while in Tanganyika, the Parliament met at the Karimjee Hall in Dar es Salaam.

President Nyerere sent Oscar Kambona to witness Zanzibar's ratification, and President Karume sent Salim Rashid to witness Tanganyika's ratification. After the Tanganyika Parliament ratified the agreement, Mr. Pius Msekwa submitted the Tanganyika and Zanzibar Union Bill to President Nyerere, who signed it at the Magogoni State House. The signing was witnessed by leaders such as Rashid Kawawa, Pius Msekwa, and others. The next day, April 26, 1964, was officially recognized as Union Day.

4.2. Formation of the United Republic.

On April 27, 1964, the new Parliament of the United Republic began its work, marked by the exchange of Union Agreement documents at the Karimjee Hall. President Nyerere and President Karume exchanged agreements surrounded by cheers and cries of Freedom and Unity. Members from Zanzibar took their oath of allegiance, fulfilling legal requirements, and Abeid Amani Karume was appointed as the First Vice President, with Rashid Mfaume Kawawa as the Second Vice President of the United Republic.

On April 28, 1964, the New Cabinet of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, consisting of 23 Ministers, was sworn in at the Karimjee Hall, including five members from Zanzibar, marking the official commencement of the government following the Union Agreement signed on April 22, 1964.

4.3. International Recognition.

Two days later, on April 30, 1964, the Ministry of Foreign Affairs announced to the United Nations Secretary-General, Mr. U Thant, the formation of the "United Republic of Tanganyika and Zanzibar," positioning the country between the United Kingdom and the United States of America in the United Nations Assembly hall. This action led to the renaming of the nation to the United Republic of Tanzania in October 28, 1964, following a parliamentary decision. The symbolic blending of Tanganyika and Zanzibar soils at Uhuru Stadium on April 26, 1965, by Hassan Omary Mzee and Hasanaeli Mrema, and the planting of a mango tree using the same blended soil at the State House in Dar es Salaam, signified the unity between the two territories, commemorated annually as a symbol of the Union's strength.

5. Foundations of Union Governance.

The Union between Tanganyika and Zanzibar, defined by the Union Agreement signed on April 22, 1964, by President Julius Kambarage Nyerere of Tanganyika and President Abeid Amani Karume of Zanzibar, is the foundation of the Union's structure. This agreement, an international treaty, required ratification by the Tanganyika Parliament and the Zanzibar Revolutionary Council. Tanganyika enacted the Tanganyika and Zanzibar Union Act, No. 22 of 1964, published in the Tanganyika Government Gazette No. 243 of May 1, 1964, while Zanzibar enacted the Zanzibar and Tanganyika Union Act of 1964. These Acts, along with the Union Agreement, have been integral parts of the Laws of the United Republic of Tanzania since April 26, 1964, demonstrating the meticulous legal process behind this historic merger.

Furthermore, the Union Laws recognized the autonomy of the House of Representatives and the Government of Zanzibar in non-Union matters, showing the dual nature of the Union structure. The Presidents of the United Republic and Zanzibar issued Orders on May 1, 1964, including the Transitional Period Terms Order and the Temporary Constitution Order, establishing the constitutional and legal framework for the transitional period. These Orders, issued in consultation and agreement with the President of Zanzibar, marked the beginning of a carefully managed transition of power and resources from Tanganyika to the United Republic.

The transformation of the Constitution of the Republic of Tanganyika into the Constitution of the United Republic, through the Temporary Constitution Order, was a crucial step in establishing the United Republic of Tanzania. This change required amending certain articles to align with the Union's provisions, leading to the renaming of the nation to the United Republic of Tanzania. The name change was formalized through the United Republic of Tanganyika and Zanzibar Change of Name Act of 1964, with the new name officially adopted on October 28, 1964.

5.1. Structure of the Union.

The constitutional framework further delineated the structure of the Union, emphasizing a federation with two distinct governments namely, the Government of the United Republic of Tanzania and the Revolutionary Government of Zanzibar. This structure, enshrined in the Constitution of the United Republic of Tanzania, recognizes the authority of the Tanzanian government over all Union matters and mainland Tanzania, while granting the Zanzibar government authority over non-Union matters in Zanzibar. This dual-government system was carefully chosen to reflect the unique geographical and population differences between Tanganyika and Zanzibar, ensuring equal representation and a balanced Union.

The Union Agreement establishes a framework where the Parliament and Government of the United Republic wield authority over crucial matters spanning governance, security, and economic affairs. These include the Constitution, Foreign Affairs, Defence, Police, and the handling of emergencies. The agreement also extends to Citizenship, Immigration, Foreign Trade and Borrowing, Public Service, Taxation, and key infrastructure like Ports, Air Transport, postal services, and Telecommunications. Such delineation of responsibilities ensures a cohesive approach to governance and national development.

5.2. Expansion of Union Matters.

The expansion of Union Matters broadened the scope of governance, incorporating additional areas critical to the nation's functioning. This expansion included matters related to currency and money for any legitimate payments (including notes), banks (including savings banks) and all banking activities, foreign exchange and management of matters related to foreign exchange, industrial licenses and statistics, higher education, natural gas resources (including unleaded motor fuel and petroleum and other types of fuel or products), natural gas, the National Examinations Council of Tanzania and all matters related to its operations, air transport and shipping, research, weather forecasting, statistics, the Court of Appeal of the United Republic, and registration of political parties and related matters.

Tanzania's choice of a two-government system over a unitary or three-government structure was a deliberate decision based on the countries' realities and needs. Julius Kambarage Nyerere, one of the architects of the United Republic of Tanzania, emphasized the practical challenges of implementing a unitary government, particularly given Tanganyika's size. His vision aimed to strike a balance that accommodated the differences between Tanganyika and Zanzibar, ensuring a sustainable and functional Union.

6. Strengthening the Union.

The Union Matters are a complex set of issues that span both Union and non-Union sectors, impacting the implementation of governmental matters. To address these, the Government of the United Republic of Tanzania and the Revolutionary Government of Zanzibar have established a meticulous procedure, involving joint meetings through the Joint Committee. This collaborative approach aims to find solutions and ensure effective governance. Previously, various commissions and committees were appointed to investigate and advise on actions regarding these matters.

6.1. Historical Commissions.

Several significant committees and commissions have been established to address Union issues over the years. These include the Salmin Amour Commission of 1984, the Nyalali Commission of 1990, the Edwin Mtei Commission of 1991, the Shellukindo Committee of 1992, the Kisanga Commission of 1999, and the Joint Committee of the Government of the United Republic of Tanzania and the Revolutionary Government of Zanzibar in 2005. These bodies reflect a commitment to addressing challenges and finding resolutions through mutual understanding and reconciliation.

The Kisanga Commission of 1999 played a crucial role in gathering public opinions on the Constitution, particularly regarding the government structure. With extensive participation from citizens across Mainland Tanzania and Zanzibar, the commission found overwhelming support for the two-government structure, indicating strong public backing for the Union. Similarly, the Shellukindo Committee of 1992 conducted an in-depth investigation into Union obstacles, leading to the presentation of the 'Report of the Government of the United Republic of Tanzania on Removing Union Obstacles' to the Parliament in 1994.

6.2. Progress and Resolutions.

Subsequent actions taken by both governments include legislative amendments, the establishment of the Union Issues Secretariat, and the enactment of various laws. These actions demonstrate a commitment to addressing Union challenges and enhancing cooperation between the Government of the United Republic of Tanzania and the Revolutionary Government of Zanzibar. Since the establishment of the Joint Committee to Address Union Issues in 2006, 25 issues have been raised, and by 2024, 22 of these issues have been discussed, resolved, and removed from the Union issues list.

Among the key issues addressed were the implementation of the Human Rights and Good Governance Commission Act, the Merchant Shipping Act, and Zanzibar's membership in the International Maritime Organization (IMO). Additionally, efforts were made to integrate Zanzibar into the East African Community and enhance its involvement in international and regional affairs. The exploration and extraction of oil and natural gas, as well as the management of telecommunication taxes by the Zanzibar Revenue Board, were also significant topics. Furthermore, agreements were reached on various development projects, such as the construction of roads and hospitals in Pemba, demonstrating a shared commitment to the welfare of both regions.

Other important issues included the appointment of key officials from Zanzibar to national institutions, the regulation of fishing in the Exclusive Economic Zone, and the allocation of revenues from international financial institutions. These efforts reflect a concerted endeavor to address the specific needs and concerns of Zanzibar while ensuring the integrity and stability of the Union.

Moreover, the establishment of the Joint Committee has led to a more structured and inclusive approach to addressing Union matters. The committee's regular meetings at different levels, including Experts, Permanent Secretaries, Ministers, and the Joint Committee itself, chaired by the Vice President of the United Republic of Tanzania, have facilitated open dialogue and swift resolutions. This proactive approach has not only resolved existing issues but has also prevented potential conflicts, contributing to the peaceful coexistence of both governments within the Union.

7. Socio-Economic Progress.

The accomplishments of Tanzania form a compelling story of national progress. The country has not only safeguarded and strengthened unity, solidarity, peace, stability, security, and independence but has also upheld the Glorious Revolution of Zanzibar and the Union of Tanzania. Firmly dedicated to multi-party democracy, human rights, and the secularity of the state, Tanzania has positioned itself as a non-aligned state, consistently defending national interests with staunch principles. The public service flourishes with professionalism, discipline, integrity, diligence, and skills, bolstered by robust policy frameworks that intensify the fight against corruption, economic sabotage, and illicit activities, channeling resources towards national development.

Tanzania's initiatives have resulted in improved food security, surplus production for foreign markets, a growing industrial economy, and strategic projects, all contributing to economic and social prosperity. With a focus on mineral control, increased government revenue, environmental protection, and proactive measures against climate change, Tanzania demonstrates a commitment to sustainable development. The comprehensive approach has led to the creation of modern infrastructure, rapid economic growth, and an improved social welfare system, representing significant steps in the country's advancement.

This progress is visible in both mainland Tanzania and Zanzibar, where substantial economic and social advancements have been achieved. Mainland Tanzania has experienced remarkable growth, with per capita income increasing from TZS 1,968,965 in 2015 to TZS 2,845,000 in 2022, accompanied by an outstanding annual GDP growth of 5.7 percent. Life expectancy also rose commendably from 61 to 65 years between 2015 and 2020. The introduction of free education has boosted student enrollment, while improved access to clean water and healthcare facilities has enhanced living conditions.

In Zanzibar, the average per capita income surged from TZS 1,666,000 in 2015 to an impressive TZS 2,859,000 in 2022, complemented by robust GDP growth of 6.8 percent. Additionally, life expectancy reached 68.4 years in 2020, indicating significant advancements. Zanzibar's provision of free medical care and increase of the local budget for the purchase of essential medicines from 0.5 billion shillings in 2015 to 12.7 billion shillings in 2020 demonstrates its commitment to healthcare access and quality of life improvements for its citizens.

7.1. Founding Tanzania.

The first phase, spanning from 1964 to 1985, was dominated by the visionary leadership of President Julius Kambarage Nyerere, alongside Vice Presidents Abeid Amani Karume and Rashid Mfaume Kawawa. This era was characterized by a unique dual leadership structure, where the First Vice President also held the presidency of Zanzibar, while the Second Vice President served as both Prime Minister and Vice President. Despite facing challenges such as the assassination of Abeid Amani Karume in 1972, which led to Aboud Jumbe Mwinyi being elected to take over the position of the first Vice President of the United Republic of Tanzania and the President of Zanzibar and the Chairman of the Revolutionary Council, serving as the second President of Zanzibar from 1972 to 1984, the government maintained stability and continuity, eventually resulting in President Nyerere's resignation in 1985 and the election of Ali Hassan Mwinyi as the new President.

During this period, Tanzania's regional engagement expanded with its membership in the East African Community in 1967. However, the EAC dissolved in 1977, leading to the integration of former EAC matters into the Union's affairs. These matters included the National Examination Council of Tanzania, Transport and Aviation, Research, Weather Forecasting, and Statistics. The Union's strength was further demonstrated by the merger of TANU and ASP into the Chama Cha Mapinduzi (CCM) on February 5, 1977, reflecting a unified political landscape. These significant developments occurred during events such as the war against Idi Amin of Uganda, which took place from 1978 to 1979, and the enactment of new constitutions for Tanzania in 1977 and for Zanzibar in 1984, marking a transformative period in the nation's history.

7.2. Transition and Reform.

The second phase, from 1985 to 1995, saw the leadership baton passed to President Ali Hassan Mwinyi. This period witnessed significant constitutional changes, including the introduction of a multi-party political system in 1992. In 1994, the vice presidential election process was reformed to align with the presidential election. This reform was part of a broader amendment to the Constitution of the United Republic of Tanzania of 1977, enacted through Act No. 34 of 1994. This amendment established a new procedure for electing the Vice President, who would now be elected in the same election as the President. Both candidates were nominated by their party simultaneously, and if the presidential candidate won, so would the Vice President.

This phase also witnessed the enactment of several key laws, including the Public Leadership Code of Ethics Act, No. 13 of 1995; the Immigration Act, No. 6 of 1995; the Tax Revenue Authority Act, No. 11 of 1995; the Bank of Tanzania Act, No. 1 of 1995; the Citizenship Act, No. 6 of 1995; and the National Security Act, No. 15 of 1995. Additionally, the establishment of the Union Matters Secretariat under the Office of the Vice President demonstrated the government's commitment to effective union governance.

7.3. Consolidating Progress.

The third phase, spanning from 1995 to 2005, marked a period of consolidation and progress under the leadership of President Benjamin William Mkapa. Building on the reforms initiated in the previous phase, President Mkapa's administration focused on legislative advancements and institutional strengthening. Despite facing challenges, including the passing of Vice President Dr. Omar Ali Juma on July 4, 2001, the government maintained its momentum. Hon. Dr. Ali Mohamed Shein was appointed to the position of Vice President of the United Republic of Tanzania.

Prime Minister Fredrick Tulway Sumaye played a crucial role in steering the government's agenda, ensuring continuity and stability. Several significant laws were enacted during this phase, including the Joint Finance Commission Act No. 14 of 1996, the Tanzania Insurance Business Act No. 18 of 1996, and the National Security Act No. 15 of 1996.

The Office of the Vice President, established under Article 47 of the 1977 Constitution of the United Republic of Tanzania and Act No. 34 of 1994, Section 11, plays a crucial role in coordinating Union matters and promoting cooperation between the governments of Tanzania and Zanzibar. It also oversees environmental conservation efforts. In 2005, the Union Matters Secretariat was upgraded to a full department, showing a deep commitment to improving the efficiency of union governance.

7.4. Economic Transformation.

The fourth phase, spanning from 2005 to 2015, saw President Hon. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete spearhead a transformative development agenda in Tanzania. The government prioritized infrastructure, expanding roads, and advancing the energy sector to ensure broader access to electricity. Significant expansion in healthcare services occurred, with increased facilities and healthcare personnel. Education also progressed, with policies enhancing enrollment rates and improving education quality.

In this period, Dr. Ali Mohamed Shein served as Vice President of the United Republic of Tanzania from 2005 to 2010. His subsequent election as President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council from 2010 to 2015 continued the development momentum. Concurrently, Dr. Mohammed Gharib Bilal assumed the role of Vice President of the United Republic of Tanzania in 2010, contributing to the ongoing development efforts.

Moreover, efforts to streamline business operations were clear, simplifying procedures for starting and running businesses. The government implemented policies to enhance the business environment, making it easier for entrepreneurs to establish and grow their enterprises. Agricultural development was a key priority as well, with initiatives aimed at bolstering food production and ensuring food security. Various programs were launched to support farmers, including providing access to modern farming techniques, improving irrigation systems, and increasing access to markets. These efforts, along with the recognition and respect for President Kikwete's leadership demonstrated by awarding him the Order of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere medal on April 24, 2024, at Chamwino State House in Dodoma, contributed to the overall economic growth and development of Tanzania during this period.

7.5. Industrialization Drive.

The Fifth Phase, from 2015 to 2021, under President John Joseph Pombe Magufuli, was marked by a strong stance against corruption, a drive to reduce government spending, and a focus on developing the country's infrastructure. His governance style, earning him the nickname "the Bulldozer," was characterized by direct action and a no-nonsense approach to tackling inefficiency and fraud. Magufuli's hands-on leadership extended to personally inspecting government offices and infrastructure projects to ensure accountability and efficiency. He also implemented measures to curb government fraud and cut wasteful spending.

During Magufuli's presidency, the slogan "Hapa Kazi Tu," meaning "Get down to work" became synonymous with a culture of productivity and efficiency. This slogan was emblematic of Magufuli's push for a diligent work ethic and his commitment to driving development in Tanzania. It encapsulated his no-nonsense approach to governance, emphasizing the need for focused and dedicated efforts to achieve progress. Throughout his presidency, the "Hapa Kazi Tu" slogan symbolized Magufuli's dedication to advancing Tanzania's development through hard work and determination.

On April 24, 2024, in a ceremony at Chamwino State House in Dodoma, President Samia Suluhu Hassan awarded the Order of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere medal to Mama Janeth Magufuli on behalf of her late husband, President John Joseph Pombe Magufuli, who passed away on March 17, 2021. This honor is bestowed upon retired heads of state of the United Republic of Tanzania, whether they are currently living or have passed away, and who were democratically elected. This act signifies the recognition and respect for Magufuli's leadership and his contributions to Tanzania's development, as well as the ongoing tradition of honoring those who have served the nation with distinction.

7.6. Empowering Tanzania.

The Sixth Phase of the Government of the United Republic of Tanzania, initiated in 2021, has been marked by several significant achievements. The government successfully conducted the 2022 Population and Housing Census, revealing a population of 61.7 million, with 30.1 million males and 31.6 million females, distributed between Tanzania Mainland (59,851,347) and Tanzania Zanzibar (1,889,773). In addition, the Buildings Census and Physical Addresses survey identified a total of 14,348,372 buildings, with 96.9% located in Tanzania Mainland and 3.1% in Tanzania Zanzibar.

President Samia Suluhu Hassan's slogan "Kazi Iendelee" translates to "Let the work continue" in English, emphasizing ongoing progress and development in Tanzania, symbolizing her commitment to the country's growth and prosperity. Her administration has been marked by effective project execution, completion, and continuity, demonstrating her dedication to driving development initiatives forward. This slogan has garnered support for promoting a culture of productivity and advancement. President Samia has also signaled her approach to dealing with officials who fail to fulfill their duties, warning them to perform or face consequences, stating "ukinizingua, tunazinguana," which translates to "If you twist me, we twist each other." Her firm stance demonstrates her determination to ensure effective governance and progress in Tanzania.

In line with this commitment to progress, the health sector has received substantial support, including a 1.3 trillion Shillings soft loan from the International Monetary Fund (IMF) to combat the effects of COVID-19. These funds have been utilized for various purposes, such as infrastructure development in the health and education sectors, and the procurement of medical equipment and medication. Progress continues with the completion of construction and renovation of referral, zonal, and regional hospitals, as well as the construction of 59 new council hospitals, renovation of 19 council hospitals, and completion of 300 dispensaries.

Efforts in the water sector has seen significant improvements, with 1,197 water supply projects completed, providing improved water services to 2,056 new villages. Additionally, more than TZS 400 billion have been invested in water projects, leading to increased water accessibility in rural and urban areas. The tourism sector has also seen advancements, while the construction sector has been particularly active, with various infrastructure projects completed or underway, including the construction of bridges, roads, government buildings, and energy projects like the Julius Nyerere Hydropower Project in Rufiji. The completion of the second phase of the Magufuli Government City in Dodoma City and the ongoing construction of the Standard Gauge Railway (SGR) and the MV Mwanza ship are among the remarkable achievements in this phase.

Additionally, the Sixth Phase has seen significant achievements through the Joint Committee of the Government of the United Republic of Tanzania and the Revolutionary Government of Zanzibar to Address Union Issues. The committee has successfully resolved 11 out of 18 issues, demonstrating a commitment to collaboration and effective governance.

8. Political Evolution.

In 1961, Tanganyika gained political independence with a multi-party system in place. The Tanganyika African National Union (TANU) and the African National Congress (ANC) participated in the November 1, 1962 presidential election, with 1,149,254 out of 1.8 million registered voters turning up. Julius Kambarage Nyerere of TANU won by a landslide with 98.15 percent of the vote, indicating to him that many Tanganyikans did not support the multi-party system. Consequently, President Nyerere formed a commission on January 28, 1964, to explore Tanganyika becoming a single-party state, which was chaired by Vice President Rashidi Kawawa and included 13 members. After the union between Tanganyika and Zanzibar, four additional members from Zanzibar were added, bringing the total to 17 members.

The commission submitted its report on March 22, 1965, recommending Tanzania become a single-party state. This recommendation was later approved by TANU and the Afro-Shirazi Party (ASP), leading to the passing of a bill and constitutional amendments in 1965. Following these changes, Tanzania officially became a single-party state, and in the subsequent general election on September 30, 1965, conducted under this new system, President Nyerere ran unopposed and received 96.46 percent of the votes, solidifying Tanzania's status as a single-party state with a voter turnout of 77.1 percent.

8.1. Transition to a Multiparty System.

On February 18, 1992, during the Chama Cha Mapinduzi (CCM) general assembly, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, one of the architects of the United Republic of Tanzania, delivered a landmark speech advocating for multiparty politics. CCM was established on Saturday, February 5, 1977, through the fusion of TANU and ASP. The assembly followed the presentation of the Judge Nyalali Commission's report on Tanzanians' political preferences, revealing that only 20 percent favored a multiparty system, while a resounding 80 percent supported the continuation of the single-party model.

In reflection of the party's lasting influence, aligning with the minority view, Nyerere sought to reassure members that CCM need not fear opposition, as the majority still placed strong faith in the party. Drawing a powerful metaphor, he portrayed CCM not as a sinking boat but as a robust political force. This lasting influence involves building trust in the party's capabilities and unity, urging timely reforms and emphasizing CCM's role as a trusted leader with the capacity to guide the nation through significant changes.

On July 1, 1992, Tanzania's political system experienced a significant transformation, transitioning from a single-party structure, which had been in place since 1965, to a new multiparty political system. This change was formalized through the Political Parties Act of 1992, which was drafted, passed in parliament, and became the primary legal framework guiding the democratization process. Additionally, key institutions such as the Office of the Registrar of Political Parties (established in 1992) and the National Electoral Commission (established in 1993) were created to facilitate and manage this transition. The significance of this transition was demonstrated by the landmark 1995 general election, marking a pivotal moment in Tanzania's political landscape.

8.2. Diversification of Political Parties.

Since the transition in 1992, up to 2024, Tanzania saw the emergence of 19 political parties, each contributing to the country's political spectrum. These parties include well-known entities such as Chama Cha Mapinduzi (CCM), Civic United Front (CUF), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), The Union for Multiparty Democracy (UMD), National Convention for Construction and Reform (NCCR MAGEUZI), National League for Democracy (NLD), United People’s Democratic Party (UPDP), National Reconstruction Alliance (NRA), Tanzania Democratic Alliance (ADA -TADEA), Tanzania Labour Party (TLP), United Democratic Party (UDP), Demokrasia Makini (MAKINI), Democratic Party (DP), Sauti ya Umma (SAU), Alliance for Tanzanian Farmers Party (AFP), Chama Cha Kijamii (CCK), Alliance for Democratic Change (ADC), Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), and Alliance for Change and Transparency (ACT WAZALENDO).

9. Conclusion.

Commemorating six decades of unity and progress, Tanzania bears witness to the strength of its people and the vision of its leaders. From the early days of independence to the present, the United Republic of Tanzania has steered through challenges with resilience and determination, emerging as a symbol of stability and unity in Africa and beyond. As we reflect on the sixty years, we are reminded of the sacrifices made by our forebears to forge a nation where all can thrive and prosper. This journey has not been without its challenges, but through dedication and a shared commitment to progress, Tanzania has overcome obstacles and continued to grow, evolving into a nation that is not only determined but also actively anticipates and plans for the future.

Looking ahead, the vision for the future of Tanzania is one of continued progress and development. Building on the foundations laid over the years, Tanzania aims to further enhance its infrastructure, expand its economy, and improve the well-being of its people. This vision is founded in the principles of equality, inclusivity, and sustainable development, ensuring that no one is left behind as the country moves forward. Tanzania envisions a future where every citizen has access to quality education, healthcare, and economic opportunities, regardless of their background or circumstances. By investing in its people and encouraging a culture of innovation and entrepreneurship, Tanzania is committed to building a prosperous and inclusive society for generations to come.

In celebration of this proud union anniversary, we reiterate our commitment to building a united, prosperous, and inclusive Tanzania. We recognize that our strength lies in our diversity and that by working together, we can overcome any challenge that comes our way. Let us honor the legacy of those who came before us by continuing to build a nation that we can all be proud of, a nation that is truly Six Decades Strong. This anniversary serves as a reminder of our shared history and the progress we have made together. In charting our course forward, let us maintain our commitment to building a nation where every citizen has the opportunity to thrive and contribute to our collective success.

In conclusion, the United Republic of Tanzania's journey over the years has been remarkable, marked by growth, unity, and resilience. As we celebrate this milestone, let us look to the future with hope and optimism, confident in our ability to overcome whatever challenges may come our way. This anniversary is not just a time to reflect on our past achievements but also a moment to recommit ourselves to the values that have guided us thus far. It is a time to celebrate our diversity and the strength it brings to our nation, and to reaffirm our commitment to defending our country and the Union, and building a brighter future for all Tanzanians. As we begin the next phase of our journey, let us carry forward the lessons of the past and the spirit of unity that has brought us this far. May God continue to bless the United Republic of Tanzania and its people with peace, prosperity, and unity.

Hip hip hooray! Hip hip hooray! Long live the United Republic of Tanzania. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Kazi Iendelee!

Thank you.

Written by Christopher Makwaia
Tel: +255 789 242 396

— The writer, is a University of West London graduate (formerly Thames Valley University) and an expert in Management, Leadership, International Business, Foreign Affairs, Global Marketing, Diplomacy, International Relations, Conflict Resolution, Negotiations, Security, Arms Control, Political Scientist, and a self-taught Computer Programmer and Web Developer.


JESHI la Polisi Mkoani Pwani limewtia mbaroni Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae kupewa dhamana, kwa kosa la kumshambulia kwa maneno makali, vitisho, dharau na kutishiwa kufungwa pingu Waziri na Mbunge Mstaafu Dkt Shukuru Kawambwa pamoja na Cathbert Enock Madondola huko Kitopeni, wilayani Bagamoyo.

Aidha watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani mara upelelezi utakapokamilika.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Pwani, Pius Lutumo (pichani), alieleza kwamba tarehe 25 April mwaka huu kupitia mitandao ya kijamii ilionekana clip ikimwonesha Dkt. Kawambwa akishambuliwa kwa maneno na vitisho na kudhalilishwa , kufokewa na kutishiwa kufungwa pingu kama mhalifu hali iliyosababisha taharuki kubwa kwa jamii.

"Ukweli ni kuwa April 24 saa 8 mchana Dkt.  Kawambwa na mtu mwingine Cathbert Madondola walishambuliwa kwa maneno, vitisho na kutishiwa kufungwa pingu na diwani Mstaafu kata ya Kiromo Hassan Wembe akiwa na askari mgambo Abdallah Mgeni."alifafanua Lutumo .

Vilevile Kamanda huyo, amemtaka mtu aliyechukua na kusambaza video ya Dkt.  Kawambwa na Cathbert Madondola wakati wakishambuliwa kwa maneno makali na kutishiwa kufungwa pingu na diwani Mstaafu huyo Wembe ajisalimishe kituo cha polisi Bagamoyo mara moja.

"Katika clip iliyokuwa inasambaa mitandaoni iliambatana na maneno yaliyosomeka kuwa Shukuru Kawambwa Waziri wa Miundombinu enzi hizo sasa ni dalali wa viwanja Bagamoyo na mhalifu wa kawaida (common criminal) jambo hili linachunguzwa pia kubaini ukweli" alisema Lutumo.

Alitaja chanzo cha tukio hilo ni magari ya mchanga ya mtuhumiwa Hassan Wembe kuharibu barabara na mashamba ya watu yakipita kwenda kubeba mchanga eneo hilo hali iliyopelekea wananchi kufunga barabara kwa magogo ili kuzuia uharibifu wa barabara.

Lutumo aliwataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi, bali wafuate sheria za nchi na kuwatumia viongozi waliopo kwenye maeneo yao kutatua matatizo yao.

Wakati huo huo Dkt Shukuru Kawambwa amesikitishwa na kitendo alichofanyiwa na Bw. Hassan Wembe kwa kumkashifu kuwa ni dalali wa viwanja wakati katika eneo hilo walikuwa wameziba njia na hakukuwa na kesi ya kuuza au kufanya udalali wa viwanja.

"Mimi sijawahi kwenda shamba lolote,kufanya lolote, Wembe kanidhalilisha,na naamini vyombo vya kisheria vitachukua hatua"

Alitoa ufafanuzi kwamba, walikaa katika kikao cha wananchi wa eneo hilo na kuamua kwa asilimia 100 barabara ifungwe isitumike tena kwani wanaharibu miundombinu ya barabara.

"Na mvua zikimalizika atengeneze barabara pia achepushe njia nyingine kupitia eneo lake kwenda barabara kuu ili afanye kazi zake kwa Uhuru kuliko kukera wananchi" alisema Dkt.Kawambwa.


Maonesho ya Kwata ya Kikundi cha Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania kutoka Zanzibar Maarufu kama Askari wa Tarabushi wakionesha Maonesho mbalimbali ya aina ya Kwata tangu kipindi cha utawala wa Sultan na kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Askari hao walijipatia umaarufu mkubwa kutokana na uvaaji wa Kofia zao za Tarabushi.  Onesho hilo lilifanyika katika kilele cha Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Aprili, 2024


Askari wa Kikundi Maalum cha Komando cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakionesha Maonesho mbalimbali wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Aprili, 2024.

Askari wa Kikundi Maalum cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akishuka kwenye Helikopta kwa ajili ya kwenda kuelezea namna mbalimbali za kwata na mapigano ya mjini wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Aprili, 2024. 

 





Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia (kushoto), akizungumza alipokuwa akitoa wasilisho lake kwa Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (kulia), katika kikao hicho.

 

Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kushoto), akiagana na mgeni wake Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dkt. Bill Kiwia (kulia), mara baada ya kumaliza mazungumzo yao, katika kikao kilichofanyika Dar es Salaam.

DAR ES SALAAM.

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) iliyoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake Dkt. Bill Kiwia.

Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Msajili wa Hazina Aprili 25, 2024 Jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujitambulisha kwa Menejimenti hiyo, kufuatia uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa HESLB.

Katika kikao hicho, viongozi hao wawili walijadiliana masuala mbalimbali yanayolenga kuongeza ufanisi na tija kwa kuzingatia falsafa ya R4 ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Aidha, katika kikao hicho Dkt. Kiwia aliwasilisha mikakati yake itakayowezesha taasisi hiyo kufikia malengo yake ya kuhakikisha vijana wengi wa kitanzania wanatimiza ndoto zao za kusoma elimu ya juu kwa kunufaika na mikopo wanayoitoa kwa manufaa ya jamii zao na Taifa kwa ujumla.


Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na Polisi kutoka kwa kinara wa wizi ya vifaa vya ndani ya magari mkazi wa Mtaa wa Sanawali Jijini Arusha Halfa Minja,kukatamtwa kwa mtuhumiwa huyo kutokana na operesheni zinazoendelea kufanywa na Jeshi hilo katika maeneo mbalimbali mkoani humo.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi Marco Chilya,akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake jana wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa watu mbalimbali wanaojihusisha na vitendo vya uharifu mkoani humo.
 Kamanda wa Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi mwandamizi Marco Chilya,akiwaonyesha Waandishi wa Habari(hawapo pichani)baadhi ya milipuko(baruti) aina ya Super Powder 90 zenye vipande 12 kila moja iliyokamatwa na Jeshi hilo kutoka kwa mkazi wa mtaa wa Hoa Hoa wilayani Mbinga Edmund Komba(34) ambaye alikutwa na Dazeni mbili za milipuko hiyo kinyume cha sheria

Na Mwandishi wetuRuvuma
KAMANDA  wa Jeshi la polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi Marco Chilya amesema,wanawashikilia watu watatu akiwemo mkazi wa mtaa wa Sanawali Jijini Arusha Halfa Minja kinara wa wizi wa vifaa ndani ya magari mkoani humo.

“Kwa muda mrefu Minja amekuwa akijihusisha na matukio ya kuvunja vioo vya magari na kuiba vifaa anavyovikuta ndani ikiwemo Laptop,tunaendelea kumshikilia yeye na wenzake wawili kwa ajili ya uchunguzi na mara upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani”alisema.

“tumebaini na kujua mtandao wote wa watu wanaojihusisha na wizi wa vifaa kwenye magari kuanzia wavunjaji,wasafirishaji na wanaopokea vifaa hivyo ambao wako Dar es slaam”.

Aidha alisema,wamemshikilia mkazi wa mtaa wa Hoahoa wilayani Mbinga Edmund Komba(34) akiwa na Dazeni mbili za milipuko(baruti) aina ya Super Powder 90 zenye vipande 12 kila moja kinyume cha sheria.

Alisema,pamoja na kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na Jeshi hilo,lakini mafanikio hayo yanatokana na ushirikiano mkubwa wanaopata kutoka kwa raia wema na vyombo vingine vya ulinzi na usalama.

Katika hatua nyingine Kamanda Chilya alisema,wamewakamata watuhumiwa 12 wa matukio makubwa yakiwemo ya ubakaji na wizi wa kutumia nguvu na silaha ambao tayari wamefikishwa mahakamani.

Chilya alisema,kati ya watuhumiwa hao,mmoja amehukumiwa kunyongwa hadi kufa,wawili wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 kila mmoja kwa kosa la kubaka,wawili wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa kosa la kubaka na mmoja alikutwa na hatia ya unyang’anyi kwa kutumia silaha na amehukumiwa kwenda jela miaka 30.

Ametoa wito kwa raia wema, kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za uharifu na waharifu ili waweze kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria ili mkoa wa Ruvuma uendelee kuwa salama wakati wote.

Amewaomba wananchi wa mkoa huo kuepuka kujihusisha na biashara haramu ambazo ni kinyume cha sheria za nchi,badala yake, watumie muda wao kujikita katika shughuli halali za kuwaingizia kipato ambazo zitaleta tija kwa familia na jamii kwa ujumla.
Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) inawahoji watu 11 akiwemo Mtendaji wa kata, kijiji pamoja na vijana Tisa ambao ni wabeba mizigo (makuli) kwa madai ya kuchepusha chakula cha waathirika wa mafuriko Wilayani Rufiji kwa utaratibu usio rasmi.

Mkuu wa wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowelle alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusikitika endapo watu hao watabainika kufanya kitendo hicho.

Alielezea,yupo Mtendaji mmoja wa kata na Mtendaji wa kijiji ambao wakibainika watachukuliwa hatua za kiutumishi.


"Ni taarifa za awali ila kwa haraka haraka kuna mifuko zaidi ya 20 ilidaiwa kufichwa, tulivyobaini tuliaagiza wahusika warejeshe vyakula walivyoficha kisha kuwaripoti katika vyombo vya kisheria ,moja wapo kuhojiwa na TAKUKURU na baada ya uchunguzi watatoa taarifa ya kina."

Gowelle alieleza ,wanatumia vijana mbalimbali kubeba mizigo inayofikishwa kama misaada Rufiji na wanalipwa fedha , Kwahiyo ikitokea vitendo vya aina hiyo ni kuondoa uaminifu.

Aliwatahadhalisha vijana hao makuli kufanya kazi yao kwa uaminifu badala ya kuweka tamaa.

"Wasigeuze kufa kufaana, wafanye kazi yao ya kubeba vifaa, Vyakula Kwa uaminifu badala ya kuficha ama kujichukulia kinyume na taratibu na waache kuanzia sasa watafuatiliwa wakigundulika watachukuliwa hatua kali " alieleza Gowelle.

Pamoja na hayo alieleza ,Rufiji ni miongoni mwa wilaya iliyoathirika na changamoto ya mafuriko,Kati ya wilaya zilizopo kwenye mikoa 14 iliyokumbwa na changamoto hiyo.

Gowelle aliwaasaa, ambao bado wapo kwenye maeneo ya bondeni na yasiyo salama wahame ili kuondokana na changamoto zisizo za lazima.

Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi akizungumza wakati wa Mkutano wa Uchaguzi wa Viongozi wa Kati ya Uongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika leo tarehe 24 April 2024 Zanzibar katika ukumbi wa Spring Hall, uliopo Madinat Al Bahr Hotel.
Mjumbe wa Bodi ya Udhamini ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye alimwakiisha Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Ndg, Vuai Ali Vuai akitoa historia ya Baraza la Vyama vya Siasa wakati wa Mkutano wa Uchaguzi wa Viongozi wa Kati ya Uongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika leo tarehe 24 April 2024 Zanzibar katika ukumbi wa Spring Hall, uliopo Madinat Al Bahr Hotel
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa, Ndg. Juma Ali Khatibu akizungumza wakati wa Mkutano wa Uchaguzi wa Viongozi wa Kati ya Uongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika leo tarehe 24 April 2024 Zanzibar katika ukumbi wa Spring Hall, uliopo Madinat Al Bahr Hotel.
Mjumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Ndg. Salum Mwalim akitoa salam kwa niaba ya uongozi wa Baraza hilo wanaomaliza muda wao wakati wa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wapya wa Baraza hilo uliofanyika leo tarehe 24 April 2024 Zanzibar katika ukumbi wa Spring Hall, uliopo Madinat Al Bahr Hotel. Kushoto ni Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi

Na: Frank Shija, ORPP
BARAZA la Vyama vya Siasa limeafiki kutoa pongezi za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuimarisha Demokrasia nchini kwa kuboresha Baraza la Vyama vya Siasa nchini.

Hayo yamebainishwa na Makamu mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vyama vya Siasa ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ndg. Salum Mwalimu wakati akitoa salaam kwa niaba ya Baraza hilo kabla ya uchaguzi wa viongozi wapya wa Kamati ya Uongozi ya baraza hilo uliofanyika tarehe 24 April 2024 Zanzibar katika Ukumbi wa Spring Hall Madinat Al Bahr Hotel.

“ Kuna wakati tumemuweka Jaji Mutungi kwenye kitimoto lakini ni wahakikishie tuendelee kuweka imani kwenye kamati ya uongozi, mtakumbuka hatukuwa na Bajeti kwenye Baraza la Vyama vya Siasa lakini chini ya kamati yenu tumefanyakazi kubwa sana mpaka leo msije mkasema na mpigia mtu kampeni lakini ndani ya miaka miwili tuna bajeti yetu iliyopitishwa Bungeni,na tumeandaa mikutano miwili mikubwa ambayo imeleta tija kubwa kwa Taifa letu, yote haya ni nia njema ya Serikali kuhakikisha Demokrasia inazidi kuimarika” Alisema Salum Mwalimu.

Aliongeza kuwa kuundwa kwa Kikosi kazi ni zao la Baraza la Vyama vya Siasa kilichotokana na Baraza hili kupitia Kamati ya Uongozi na Sekretarieti chini ya Jaji Francis Mutungi na tumefanikiwa kuandaa mikutano miwili ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Bara na Visiwani.

“Mheshimiwa Jaji amesema kabla ya kikao cha Baraza kutakuwa na vikao vya Kamati jambo ambalo tumelipigania muda mrefu sana hii inaonyesha Dhahiri nia njema ya Serikali kuhakikisha Demokrasia inaimarika, mtaona kwa mara ya kwanza juzi kuna kadude kameingia kwenye vyama vyetu kuhakikisha tunasafisha karoti na kuhakikisha akaunti ipo active, kazi ile imefanywa kwa wivu mkubwa na kamati ya uongozi na kupokelewa na Jaji Mutungi na Sekretairieti na wakaitekeleza ndani ya muda mfupi, na mheshimiwa Jaji kuna jambo alilisema ambalo kilikuwa kilio chetu cha muda mrefu cha kamati kukakaa kabla ya Baraza” aliongeza Mwalimu.

Kwa upande wake Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi alisema kuwa wakati wanapanga mikutano ya Baraza la Vyama vya Siasa vitatanguliwa na vikao vya Kamati za Baraza la Vyama vya Sias ambavyo vipo kikanuni kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa.

“Ebu tulionyeshe Taifa ili kuwa tuliopo hapa tuna haki yakukutana na kujadiliana, jana nilitakakusema kwamba Kamati ya uongozi haiwezi kukaa kabla Kamati hazijakaa, kiutaratibu zinatakiwa zile kamati kukaa arafu wenyeviti wanakuja kutuambia yaliyojiri kutoka katika kamati zao” Ailisema Jaji Mutungi.

Jaji Mutungi aliongeza kuwa lengo la kuwa na vikao vya kamati kabla ya kikao cha Baraza ni kuhakikisha kuwa masuala yote yanayojadiliwa katika Baraza yawe yametoka chini kwenyevyama husika ikiwa ni njia sahihi ya kujenga na kuhimarisha Demokrasia na umoja wa kitaifa.

“ Sasa tunatakiwa tuboreshe taarifa zetu ambazo hwa wawakilishi wanaokuja kwenye Baraza zinakuwa zimeanzia chini kutoka kwenye vyama vyetu zilitwe kwenye kamati ya uongozi mwisho kwenye baraza ata mtu akisema Msajili mwenyewe ni Jaji mimi mwenye nakuwa na vitu ambavyo vimetokana na mfumo mzima ambao tumetokanao kwenye Baraza la vyama vya Siasa”. Aliongeza Jaji Mutungi.

Akizungumzia chimbuko la Baraza la Vyama vya Siasa Mjumbe wa Bodi ya Udhamini wa Chama cha Mbizu Ndg. Vuai Ali Vuai Mwafaka wa Oktoba wa 2001 baina ya CCM na CUF ulioibuka na muafaka wa kuanzishwa kwa chombo ambacho kitawakutanisha wadau wa siasa kwa lengo la kuwa na jukwaa la kukutanisha wadau ili kujadiliana namna ya kuendesha siasa za Tanzania.

“Baraza limetoka mbali lakini chanzo cha Baraza hili litokana na mazungumzo yaliyokuwa yanendele kwa muda mrefu ya Makatibu wa Kuu wa CUF na CCM baadaye zikaundwa kamati wajumbe wakateuliwa kutoka vyama hivyo wakatengeneza document iliyojulikana MUAFAKA wa Oktoba 2001 lengo lake lilikuwa kujenga umoja baada ya maelewano na kuafikiana hatimaye kiundwe chombo kimoja kitakachowakutanisha viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa ili wapate mahali pakuzungumzia masuala ya kisiasa kwa mustakabari wa Maendeleo ya watanzani”. Alisema Mhe. Vuai.

Mkutano huo wa Baraza la Vyama vya Siasa umefanyika Visiwani Zanzibar kwa Siku tatu kuanzia tarehe 22 hadi 24 ambapo ulitanguliwa na Kikaocha Kamati ya Uongozi lkilichafanyika tarehe 22 katika Ukumbi wa Ofisi ndogo za Bunge Zanzibar na kufuatiwa na mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa ulioshirikisha Makatibu wa Vyama wasiokuwa wajumbe wa Baraza na wawakilishi wa wanawake na kisha kuhitimishwa na mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa Kamati za Uongozi wa Baraza hilo uliofanyika katika ukumbi wa Spring Hall uliop katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Zanzibar.

Top News