MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA), Mhe. Freeman Mbowe akifungua mkutano wa Baraza Kuu la Chama hicho mjini Dodoma siku ya Jumamosi.
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Vincent Mashinji akizungumza.
Wajumbe wakiimba Wimbo wa Taifa
Dua ilifanyika kabla ya kuanza mkutano huo.
Wajumbe wakiwa mkutanoni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...